Baleke atoboa siri kinachomweka benchi Yanga

Kupitia Ukurasa wake Tiktok Live, Jean Baleke alisema moja kati ya sababu kubwa ya kutofautiana na Uongozi wa Yanga ni suala la malipo ambayo yamechelewa kwa kipindi kirefu kidogo jambo ambalo lilimfanya ashindwe kutumika vizuri.

“Nilipewa barua wiki iliyopita na kwangu naona ni uamuzi mzuri tu ambao klabu imefikia kwani sikuwa napata haki yangu kama ilivyotakiwa. Sijalipwa mshahara wangu miezi miwili, suala ambalo sio zuri kwa upande wangu, niko tayari sasa kwa changamoto mpya


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI