AmaZulu kumng'a Kibu Msimbazi


Klabu ya AmaZulu ya Ligi Kuu ya Soka Afrika Kusini imetuma ofa kumsajili Mshambuliaji wa Simba SC ya ligi kuu Tanzania Bara, Kibu Denis (26).

AmaZulu imefanya mazungumzo na Wekundu wa Msimbazi kuhusu Kibu,

AmaZulu FC iliyochini ya kocha Pablo Franco Martin aliyewahi kuwa kocha wa Simba SC tangu 2021 - 2022,

AmaZulu katika msimu huu wa ligi kuu soka Afrika Kusini inashika nafasi ya 13 kwa alama 9 ilizovuna kwenye michezo 9.

Msimu uliopita ilifanikiwa kumaliza nafasi ya 11 kwenye ligi kuu ikiwa na alama 36 katika michezo 30.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI