Mtanzania ang' ara Morocco

Nyota wa Tanzania Jaruph Juma ameisaidia timu yake ya Ain Diab kupata ushindi wa magoli 5-0 kwenye mchezo wa Ligi kuu ya Soka la Ufukweni ya Morocco (Beach Soccer) dhidi ya timu ya Hercules.

Jaruph amefunga magoli 3 katika mchezo huo. hii inadhihirisha kwamba wachezaji wa Tanzania wanafanya vizuri nje.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI