Clara Luvanga apiga bao, Al Nassr ikiua 3-1 Saudi Arabia


Nyota Wa Tanzania Clara Luvanga Ameiwezesha Timu Yake Ya Al Nassr FC Ya Saudi Arabia Kupata Ushindi Wa Mabao 3 - 1 Dhidi Ya Al-Ula Katika Mchezo Wa Ligi Kuu Ambao Clara Ametupia Wavuni Goli Moja.

Magoli Mengine Mawili Yamefungwa Na Ruth Kipoyi Raia Wa Congo Aliyeingia Kipindi Cha Pili Na Lina Raia Wa Algeria.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI