Boka, Baleke ruksa kuivaa CBE

Wachezaji, Chadrack Boka na Jean Baleke baada ya kukosa michezo ya awali CAF Champions League sasa wako huru kucheza hatua inayofuata CAF champions League.

ITC za Chadrack Boka na Baleke zilichelewa kufika, zilifika wakati ambao dirisha la CAF likiwa limefungwa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI