Azam FC kumpiga bei Feitoto msimu ujao

Baada ya kiungo mshambuliaji Feisal Salum (26) kukataa kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili katika klabu ya Azam

Azam wamepanga kumuweka sokoni kiungo huyo katika dirisha kubwa lijalo la uhamisho

Ofa zitakazopewa kipaumbele zaidi ni kutoka nje, ingawa Fei mwenyewe anataka kucheza Simba timu ambayo ipo moyoni mwake licha kwamba alichezea Yanga


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI