Chley Nkose amshukuru Diamond Platinumz

Msanii kutoka Afrika Kusini Chley Nkosi" ametoa shukrani zake kwa staa wa bongofleva Diamond Platnumz hii ni baada ya Diamond Platnumz kumshirikisha kwenye nyimbo kadhaa
.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mrembo Chley ametoa shukrani kwenye hilo na ameamua kumshukuru Diamond waziwazi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI