Simba yakubali yaishe kwa Chama, kumlipa dau anslotaka


Klabu ya Simba imekubali kuboresha zaidi mkataba kwa matakwa mbalimbali anayohitaji kiungo raia wa Zambia, Clatous Chama ili asaini mkataba mpya,

Clatous Chama yupo tayari kusaini kandarasi mpya na kipaumbele kikubwa zaidi ni Simba, kuelekea msimu ujao,


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA