Wadau walaani kitendo cha Maxi Nzengeli


Nalaani kitendo hichi alichofanya Maxi Nzengeli kwa Azizi Ki na Aziz Ki akiwa ametulia tuu eti aise anasikilizia Kiss 🤮? mpigaji wa hii picha amekosea kuipiga na kuiweka hadharani

Je? waafrika tumeacha tamuduni zetu kama wa Afrika mwanaume kabisa unakubali kupigwa busu na mwanaume mweinzako aise mimi napigana aise hayo mambo ni watu wa Ulaya huko wameruhusu hayo mambo...ya kishwaitwani....


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI