PACOME KUONDOKA YANGA


Sasa hizi ni zandaaani kabisa, taarifa zinasema Mwamba alipona kabla ya Yao Kouassi na angeweza kucheza mechi ya Marudiano dhidi ya Mamelodi kule kwa Madiba.

Hivi tayari wakala wake Zambro Traore yupo dar kutatua mgogoro, kama mambo yataenda vizuri Mwamba atabaki ila ikiwa tofauti basi msimu ujao sio Mwananchi tena.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI