TBC KUZITANGAZA MECHI ZA ROBO FAINALI SIMBA, YANGA


Shirika la Utangazaji Tanzania TBC litaonyesha Michezo ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Simba SC Dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Kesho Ijumaa na Mchezo wa Yanga SC Dhidi ya Mamelodi Sundown siku ya Jumamosi

Michezo yote Hiyo Itaruka Mubashara Kupitia TBC1 Bure kwa Muonekano wa Picha ang'avu yaani FULL HD

#FutbalPlanetUpdates KUTOKA TBC.

Shirika la Utangazaji Tanzania TBC litaonyesha Michezo ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Simba SC Dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Kesho Ijumaa na Mchezo wa Yanga SC Dhidi ya Mamelodi Sundown siku ya Jumamosi

Michezo yote Hiyo Itaruka Mubashara Kupitia TBC1 Bure kwa Muonekano wa Picha ang'avu yaani FULL HD


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI