KOPUNOVIC HUYOO COASTAL UNION

Aliyekuwa kocha wa Tabora Jnited Goran Kopunovic yupo mbioni kujiunga na Coastal Union.

Kwa sasa yupo kwenye hatua za mwisho kumalizana nao, Coastal malengo yao ni kumaliza nafasi ya 4 ili wacheze michuano ya kimataifa msimu ujao

Goran Kopunovic

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI