CHANUO BADO NI MKE WANGU- MADEBE

Staa wa Michezo ya kuigiza (Bo gomu I) Madebe Lidai amesema msanii mwenzake Chanuo bado ni mke wake tofauti na watu wanavyodai kwamba wameacha a.

 "Chanuo bado ni mke wangu, mama watoto wangu na yeye ananitambua kama mume wake, kugombana kupo ukizingatia sisi wote ni maarufu kwahiyo lazima matatizo yetu yawachanganye watu. I

la kwa sasa tuko sawa hayo mengine yaliyonikuta ni sehemu ya uanaume tu misukosuko ni lazima" - Madebe Lidai


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI