MHE MWIGULU KAMA PACOME

Muonekano mpya wa mhe Dkt Mwigulu Nchemba ambaye ni Waziri wa fedha, kuelekea mtanange wa kukata na shoka kati ya Yanga SC ya Tanzania na CR Belouizdad ya Algeria utakaofanyika uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam, Waziri Nchemba amepiga briech akijifananisha na Pacome Zouzoua.

Wachezaji wa Yanga karibu wote wamepiga briech wakiadhimisha siku ya kuzaliwa ya Pacome

Dkt Mwigulu, kama Pacome

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI