GADIEL MICHAEL ATAMBULISHWA CAPE TOWN SPURS


Nyota wa Zamani wa Klabu ya Azam FC , Yanga , Simba na Singida Big Stars amejiunga rasmi na Kikosi cha Cape Town Spurs inayoshiriki ligi Kuu ya South Africa.

Gadiel anaungana na Kocha wake wa Zamani wa Singida Fontaine Gate Ernst Meddendorp pale


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI