CAPE VERDE KUMNGOJA SENEGAL AU IVORY COAST

Bao pekee lililofungwa na nahodha wa timu ya taifa ya Cape Verde, Mendez limeiwezesha kutinga robo fainali baada ya kuilaza Maurtania bao 1-0 kwenye mchezo uliomalizika muda huu hatua ya 16 bora Afcon zinazofanyika Ivory Coast.

Jana usiku DR Congo iliifuata Guinea baada ya kuiondosha kwa matuta Misri baada ya sare ya 1-1 ndani ya dakika 120, DR Congo ilipata penelti 9 dhidi ya 8 za Misri.

Mechi itakayofuata usiku huu ni kati ya wenyeji Ivory Coast na mabingwa watetezi Senegal


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI