BUMBULI AMTETEA CHAMA

“Baada ya Chama kusimamishwa na uongozi wa Simbasc kwa sababu ya Utovu wa nidhamu watu mbali mbali wamekua na Mtazamo na maono tofauti tofauti kupitia Ukurasa wa aliekuwa Afsa Habari na Mawasiliano wa yangasc Hassan Bumbuli ameandika haya”

Clatous Chota Chama, Triple C a.k.a Mwamba wa Lusaka. Hata iweje, umefanya kazi kubwa katika soka la Tanzania na umeleta ufahamu wa ajabu kwenye soka letu. Kama shabiki wa soka ninaheshimu na nitaendelea kuenzi ulichofanya. Ninakupa heshima yangu kamili.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI