YANGA YAACHANA NA CHIVAVIRO


Wananchi Wameachana na mbio za kumuwania Mshambuliaji wa klab ya Kaizer Chiefs raia wa Afrika Kusini Ranga Chivaviro (30) ambaye alitakiwa kuja kwa Mkopo na hii baada ya kufanikiwa kuipata saini ya Uhamisho wa kudumu wa Mshambuliaji mwingine Kinda,

Pia imefahamika Mwalimu Gamondi amekuwa akihusudu sana soka la vijana na ndio maana akapitisha jina la Mshambuliaji huyo anayetumia mguu wa kulia.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI