WIMBO WA DIAMOND WAZUA BALAA MAREKANI

Wimbo wa Diamond Platnumz #shu unasikizwa sana Marekani, kwa mujibu wa Roma Mkatoliki ameandika kupitia InstaStory yake wimbo unapigwa sana Jijini Washington DC, Marekani.

Roma ameandika hayo kupitia Instastory yake...
"Kibane baaane mwisho kiliwe na nyenyere huu muwa unalia sana DC club nyingii!!!"


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI