TETESI, LAVALAVA KUONDOKA WCB

Kwa mujibu wa watu wakaribu wa Msani wa Muziki wa Bongo fleva Lava lava Tayari Ameshavunja mkataba na lebo yake ilikuwa ikimsimamia ili kuanza kujitegemea Akiwa Kama Solo Artist kilichobaki kwa Sasa Ni kukamilisha malipo ya uvunjaji mkataba ambapo kwa Sasa wameshalipa Asilimia kadhaa na wanategemea kukamilisha malipo yaliyobaki ili kukabidhiwa hatimiliki za digital platform zake na Mambo mengine .kumbuka hii sio Mara ya kwanza kwa wasani kutoka Wcb kuvunja mikataba hii imefanyika kwa Rich mavoko, Harmonize, Rayvanny Sasa Ni lavalava


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI