OSCAR MIRAMBO AULA CAF

Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Oscar Mirambo ameteuliwa na CAF kuwa Mkufunzi wa Kozi ya wakufunzi wa CAF Elite (CAF Elite Instructors Course) inayofanyika Rabat, Morocco.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI