MWAKINYO AGOMEA PAMBANO

Na Mwandishi Wetu

Bondia Hassani Mwakinyo wa Tanzania ameweka wazi kesho hatopanda ulingoni kutokana na uongo na udanganyifu wa mapromota baada ya kubadilishiwa mpinzani wa awali Rayton Okwiri na kupewa bondia Julius Indongo wa Namibia


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI