FAR RABAT YA NABI YAFUZU LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Na Mwandishi Wetu

Mabingwa wa Morocco Far Rabat Wanaonelewa na kocha wa Zamani wa Yanga sc Nasreddine Nabi wamefuzu hatua ya pili ya CAFCL

Hatua iyo inafuata baada ya kuwaondosha A.Kara ya nchini Togo kwa Matokeo ya Jumla Bao 8-0.

Mchezo wa Kwanza Ugenini Far Rabat walishinda [1-0] kabla ya kumshushia mtu week leo hii nchini Morocco [7-0]

Ushindi Huo unawahakikishia Far Rabat nafasi ya kusonga mbele hatua inayofuata kabla ya kufuzu hatua ya makundi

Far Rabat watakutana na Mabingwa Wa Tunisia Etoile du sahel Kibarua kingne kwa Prof Nabi..

FAR RABAT VS ETOILE DU SAHEL

Mshindi wa matokeo ya Jumla Atajihakikishia Ticket ya kufuzu makundi moja kwa moja

Mechi za Waarabu kwa Waarabu tena ktk mechi ya Maamuzi huwa raha sana figisu wanafanyiana na vurugu juu acha tuone.

Etoile Du Sahel ni wamoto sana msimu huu na walipania sana kurejea katika ramani ya soka, ni atasonga mbele ni jambo la kusubiri na kuona



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI