MORRISON ANATAKA MSHAHARA MKUBWA ASAINI SINGIDA FOUNTAIN GATE

Kikao kinaendelea Dar es Salaam, Tanzania kati ya Uongozi wa Singida Fountain Gate na winga Bernard Morrison juu ya uwezekano wa kuipata saini ya Mchezaji huyo.

Morrison anahitaji mshahara mkubwa sana, issue ni maslahi binafsi, ila kuna uwezekano wa Bernard Morrison akajiunga na Singida Fountain Gate.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI