JEZI YA SPIKA WA BUNGE YAUZWA MIL 2.5

Jezi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Akson imeuzwa kwa Sh. 2,500,000 kwa Tawi la Simba Makini katika Mnada unaoendelea katika Ofisi za Azam TV.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI