PROFESA NABI AANGUKIA FAR RABAT, MOROCCO

Profesa Nabi alikuwa anatakiwa na Kaizer Chief mwisho wa siku mambo yameenda kombo zakikachero kabisa zinaeleza walishindwana.

Sasa kwa mujibu wa tetesi zinaeleza Mabingwa wa Morrocco klabu ya AS FAR Rabat wanahitaji huduma ya Nabi kwa ajili ya msimu ujao na michuano ya kiamataifa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI