Tusker, Gor Mahia zamuwania Yacouba Sogne

Vilabu vya Tusker na Gor Mahia vimeingia vitani kuisaka saini ya kiungo wa ushambuliaji wa klabu ya Ihefu raia wa Burkina Faso Yacouba Songne,

Kandarasi ya Yacouba Songne na Ihefu inatamatika mwishoni mwa msimu huu 2022-2023.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI