Kibu, Baleke na Salim kuwania tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki Simba SC

Orodha ya nyota watatu (3) ambao wameingia katika kinyang'anyiro cha kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) kwa mwezi Aprili, 2023.

👤 Jean Othos Baleke
👤 Denis Kibu Prosper
👤 Ally Salim Juma (GK)


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI