Ronaldo kuendeleza moto kwa Morocco leo, Hispania na Iran ngoma inogile

Raundi ya pili ya kombe la dunia inaendelea leo baada ya jana Misri na wenyeji Urusikucheza mechi zao za pili, mitanange leo itakuwa mitatu ambapp Uruguay iraanza kwa kuumana na Saudi Arabia katika mchezo wa kundi A uwanja wa Rostov Arena.

Lakini baadaye Ureno yenye staa wake mahiri duniani Cristiano Rondo yenyewe itashuka dimbani kuwavaa wawakilishi wengine wa Afrika,Morocco katika uwanja wa Luzhniki Arena jijini Noscow, Ronaldo anaongoza kwa magoli akifunga matatu na leo anataka kuendeleza tena rekodi yake ya kutupia.

Hispania nayo inaumana na watengeneza nyuklia wa Iran mechi ambayo itakuwa kali na ya kusisimua kutokana na historia ya mataifa hayo wawili kuhusiana kindugu tokea karne zilizopita

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI