AJIBU AWASHANGAA SINGIDA UNITED

Na Paskal Beatus. Dar es Salaam

Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajibu Migomba anawashangaa Singida United kwa kitendo cha kumtangaza kwamba wanataka kumsajili wakati hawajawahi kumwita mezani.

Ajibu anashindwa kuwaelewa viongozi wa Singida United timu iliyopanda Ligi Kuu mwaka huu, Akizungumza Mambo Uwanjani, Ajibu amesema mkataba wake na Simba unamalizika mwezi ujao hivyo yuko tayari kusaini kokote.

Amedai Singida United inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga, Mholanzi Hans Van der Pluijm imeweka wazi mipango yake ya kumsajili Ajibu lakini bado haijafanya mazungumzo naye hivyo nyota huyo anaweza kuota mbawa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI