Valencia bado yamng' ang' ania Rojo

Valencia bado inakomaa kuhakikisha inamnasa beki wa Manchester United Marcos Rojo kwenye usajili wa dirisha dogo la January.

Muargentina huyo ameanza kuaminiwa na Jose Mourinho lakini Valencia inaamini kutua kwa Victor Landelof kutamfanya Rojo awe huru na watampata kirahisi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI