Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Matokeo ya mechi za EPL

Na Nasri Alfan

Mechi ya kwanza ili kuwa niya BOURNEMOUTH dhidi ya SUNDRELEND mechi ambayo Sunderland aliweza kubuka na ushindi ugenini wa goli 1 kwa 2 ushindi ambao ume msaidi David Moyess kuku sanya pwenti 5 pekee kwenye michezo 11 iliyo pita pia Sunderland ndio timu inayo shika mkia kwa sasa

BURNLEY wali endeleza wimbi la matokeo mazuri bada ya jana kupata ushindi w Goli 3 kwa 2 nyumbani dhidi ya C.PALACE hii nibada wa wiki iliyo pita kupata Suluhu ugenini dhidi ya Manchester United

Manchester City wali lazimishwa sare ya goli 1 kwa 1 dhiya Middlesbrough
Middlesbrough ambayo pia waliweza kupata Suluhu mechi dhiya Aresenal jana wame fanikiwa kuwazia tena miamba ya EPL kwa goli la dakika za lala salama la de roon huku goli la Man City liki fungwa kipindi cha kwanza na Kun Aguero

Sare ambayo ina ishusha City kile leni na sasa Chelsea ana ongoza ligi hiyo ita tegemea mechi ya leo kama Aresenal ataweza kupata matokeo mazuri dhiya TOTTENHAM Aresenal ata kuwa ana ongoza ligii

Chelsea 5 Everton 0
Mechi ambayo ime mfanya Conte kukaa kileleni mwa ligii ku ya ENGLAND pia Hazzard ame weza kutimiza goli 7 katika mechii 11 pekee.

Pia kwa sasa Chelsea wata kuwa wame timiza Clean sheet 6 katika toka ligii ianzee yani kucheza mechi 6 bila kuruhusu goli  ndio timu yenye Clean sheet nyingi kwa msimuu huu hii ina tokana na ohodari wa mbinu za Conte katika kujilindaaa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya viwango vya ubora wa klabu barani, Simba ikiendelea kuwa juu ya klabu nyingine za Tanzania, nafasi ya tano. Orodha hiyo imetoka leo kuelekea droo ya hatua za awali za michuano ya klabu Afrika ambayo kwa mara ya kwanza kihistoria itafanyika nchini katika studio za Azam Tv, Tabata Jijini Dar es Salaam. Yanga ambayo kama Simba itashiriki Ligi ya Mabingwa — yenyewe inashika nafasi ya 12, wakati timu nyingine katika orodha hiyo ni Namungo FC wanaoshika nafasi ya mwisho, ya 75 kwa pamoja na Salitas FC ya Burkina Faso, Ahli Benghazi ya Libya na NAPSA Stars ya Zambia. Kwa msimu ujao mbali na Simba na Yanga kushiriki Ligi ya Mabingwa, Azam FC na Singida Black Stars zitashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

Miongoni mwa viungo wa pembeni wanaofanya vizuri ni Benodict Khalfan Ngassa ambaye amekuwa akifanya vizuri. Ngassa ambaye ni mtoto wa mchezaji wa zamani wa Pamba Jiji na Simba SC, Khalfan Ngassa, pia ni mdogo wa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Simba na Azam, Mrisho Ngassa anatajwa ni mmoja kati ya wachezaji wanaotazamiwa kufanya makubwa siku za usoni. Mambo Uwanjani Blog itawaletea Makala maalum ya kiungo huyo hatari ambaye ndoto zake ni kufuata nyayo za kaka yake Mrisho Ngassa. Beno Ngassa