Samatta atajwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika

Na Mwandishj Wetu

Mtanzania Mbwana Samatta ametajwa katika orodha ya majina 30 yatakayowania tuzo ya Mchezaji Bora Afrika kwa mwaka 2016 huku Yaya Toure akiachwa.

Katika orodha hiyo wamo wachezaji wengine ambao ni Riyad Mahrez, Pierre-Emerick Aubameyang na Kelechi Iheanacho.

Kutoka Afrika ya Mashariki pia wamo Victor Wanyama wa Kenya na Dennis Onyango wa Uganda.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI