Kumbe Said Ally aliyetobolewa macho na Scorpion ni shabiki wa kutupwa wa Simba

Na Prince Hoza, Dar es Salaam

Kumbe yule jamaa aliyetobolewa macho na jambazi Scorpion, anayefahamika kwa jina la Said Ally Mrisho ni shabiki wa kutupwa wa Simba na ameweza kulia akiimbuka timu yake hiyo.

Said Ally amemwaga machozi hasa akiililia Klabu yake hiyo kwani hatoiona tena machoni mwake, Said anaikumbuka Simba kwani alikuwa akienda kuitazama lakini ndio basi hawezi tena kuiona Simba yake.

Anasema amewamisi wale mashabiki wakorofi waliong' oa viti uwanja wa Taifa Dar es Salaam, anakiri kama angekuwepo na yeye angeng' oa kwani ni mkerekwetwa haswa wa Simba, anawaomba mashabiki wenzake wa Simba wamuombee

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI