UZI WA SIMBA NA YANGA 2016/17 HUU HAPA

Na Prince Hoza, Dar es Salaam

Vilabu vya Simba na Yanga na vinginevyo vinavyoshiriki Ligi kuu bara jana vimetambulisha jezi zao itakazotumia katika msimu unaotarajia kuanza Agosti 20 mwaka huu, wanamitindo jana walizitambulisha jezi hizo.

Jezi za Simba zimeonekana kutulia zaidi kuliko za timu zote ingawa za Yanga zimeonekana kuvutia zaidi, uzinduzi huo wa jezi umefanyika jana

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI