WASANII WA BONGOFLEVA, BONGOMOVIE WAMLILIA JK

Na Mwandishi Wetu, DODOMA

Wasanii wa Bongo Movie na muziki wa kizazi kipya wamesema watamkumbuka sana Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete kwa msaada aliyowapatia kipindi cha utawala wake akiwa Rais na Mwenyekiti wa chama hicho.

Wasanii hao wameyasema hayo mjini Dodoma walipofanya tamasha la Usiku wa Wasanii kwa ajili ya kumuaga baada ya kustaafu rasmi uwenyekiti wa chama hicho na kumuachia uongozi Rais John Magufuli.

PICHA ZOTE NA EDWIN MJWAHUZI

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI