MICHANO: MIKE TEE: Ni sawa na mfugaji wa kuku wa kienyeji aliyekata tamaa baada ya kuku wote kufa kwa mdondo

Na Mkola Man, TANGA

Yap Yap Yap Michano Leo Inamchana Mike T  Mnyalu. Mwana hip hop Aliye Fanikiwa Na Style Yake Ya Kinyalu.

Alijipatia Mashabiki Wengi Sana, Hasa Ktk Nyimbo Zake Kama Sitobadilika Ft Q Chief, Nyalu Land Ft Lady Jay De, Nakupenda Ft Juma Nature, Utanipenda Ft Mad Ice. Leo Hii Namfananisha Na Mfugaji Wa Kuku Wa Kienyeji. Aliye Kata Tamaa Baada Ya Kuku Wake Kukumbwa Na Ugonjwa Wa Kideli Ama Mdondo.

Kisha Akaamua Kuacha Ufugaji Akiamini Ufugaji Huwo Auna Faida Zaidi Ya Hasara. Kumbe Yeye Ndio Chazo Cha Hasara Ama Faida.

Michano Inamshauli Mfugaji Asikate Tamaa, Ila Abadilishe Mfumo Wa Ufugaji Mabanda Yawe Masafi Hata Kama Niyakawaida Jingine Kinga. Micha Inawatakia Ijumaa Njema Nimimi Mkola Man Ktk Michano Ya Kujenga Na Walasikubomoa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI