KIPUTE YANGA NA AZAM AGOSTI 17

Na Salum Fikiri Jr, DAR ES SALAAM

MTIFUANO wa Ligi kuu bara unatarajia kuanza mwezi ujao, lakini kutakuwa na mchezo wa Ngao ya Hisani kati ya Yanga SC na Azam FC Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mechi hiyo ya Ngao itakuwa ya nne kwa miamba hiyo huku mara zote Yanga ikitoka na ushindi, Ikumbukwe mwaka jana Yanga ilitwaa Ngao kwa kuifunga Azam kwa penalti 8-7 baada ya sare ya 1-1.

Mara ya baada ya mechi hiyo ndipo Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara itakapoanza, Je Yanga itaibuka na ushindi katika mchezo huo? au Azam watalipa kisasi! ngoja tuone

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI