KIPA WA ASEC MIMOSAS AJA KUMRITHI AISHI MANULA AZAM

Na Mrisho Hassan, DAR ES SALAAM

KIPA raia wa Ivory Coast aliyepata kutamba na klabu ya Asec Mimosas, Daniel Yeboah Tetch amewasili nchini leo na atasaini mkataba wa kujiunga na timu hiyo kisha kuondoka zake.

Hii ina maana atamrithi kipa wa timu hiyo Aishi Manula ambaye kwa kipindi chote alikuwa langoni peke yake pasipo kupata upinzani wowote wa namba.

Yeboah kipa aliyepata kucheza kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast iliyoshiriki fainali za kombe la dunia

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI