IVO MAPUNDA ATUA AFC LEOPARDS

Na Prince Hoza, DAR ES SALAAM

KIPA wa zamani wa Yanga, Simba na Azam, Ivo Philip Mapunda anakaribia kujiunga na timu ya AFC Leopards ya Kenya inayoshiriki Ligi kuu ya nchi hiyo (KPL).

Akizungumzia usajili wake AFC, Mapunda amesema, Ligi ya Kenya imekuwa na neema kwake kwani kujiunga na timu hiyo kubwa nchini humo ni faraja kwake.

Anasema AFC na Gor ni sawa na Simba na Yanga hivyo anajisikia furaha kucheza kwenye vilabu vikubwa katika ukanda huu, Mapunda alitemwa na Simba wakati wa usajili wa dirisha dogo, akajiunga na Azam ambayo nayo imetangaza kumtema

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI