SANGOMA AIPA YANGA USHINDI DHIDI YA SIMBA.

Yanga imetabiriwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya hasimu wake Simba watakapokutana Oktoba 18 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

 Mnajimu na mtabiri maarufu nchini Dk Mtakoma ubishi ametoa utabiri wake kuhusu mchezo huo ambapo nyota zinaipa Yanga mabao mawili. 


Mtakoma ubishi ambaye ni mganga wa jadi kutoka Mbaramo mkoani Tanga anayetibu maradhi mbalimbali na kuweka kinga za nyumba, shamba, biashara nk amemtaja Jaja kuwa nyota yake inang'ara na atatamba msimu huu. Aidha mnajimu huyo ametabiri matokeo mabaya kwa miamba hiyo wachezapo mikoani. kwa mawasiliana naye piga simu 0658-395905

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI