ETO'O ATUA EVERTON

Everton wamemsajili Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kuondoka Chelsea msimu uliopita.


Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Cameroon, 33, amejiunga kama mchezaji huru na anaungana na Romelu Lukaku waliokuwa pamoja Chelsea.

Boss wa Everton Roberto Martinez amesema: "Nilikutana naye na tukawa na mazungumzo mazuri. Nilivutiwa sana na njaa ya kucheza soka ambayo bado anayo.

"Tumefurahishwa sana na nadhani Everton ni makazi yake mazuri."

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI