CHELSEA YAISHUSHIA MVUA YA MABAO BUNRLEY

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho
Chelsea ilipeleka kilio kwa Burnley usiku wa jumatatu katika mchuano wa ligi kuu ya England ambapo Chelsea iliitandika Burnley mabao 3-1.


Burnley ilitangulia kufunga bao moja dhidi ya Chelsea kupitia mchezaji wake Scott Arfield katika kipindi cha kwanza cha mchezo hali iliyotishia kuwa pengine Chelsea ingepoteza katika mchezo huo, hata hivyo , goli hilo halikudumu kwa muda mrefu,ambapo kazi nzuri ya wachezaji wa Chelsea kama vile Diego Costa,Ivanovich na Andre Shule ilitosha kabisa kuitoa jasho Barnley.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI