Wydad yamrejesha kundini Seleman Mwalimu "Gomez"
Selemani Mwalimu yupo jijini Dar Es Salaam akishughulikia safari yake ya kuelekea Morocco kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya.
Kocha mpya wa Wydad, Paulo Sergio anataka kuwaona wachezaji wote kambini kabla ya kufanya maamuzi.
