Simba yaja na Ibrahim Doumbia
Simba SC imemsajili mshambuliaji Ibrahim Doumbia kwa mkataba wa muda mrefu na sio kufanya majaribio kwenye CECAFA KAGAME CUP 2026 akitokea AS Kôrôfina
Ibrahim Doumbia ni mchezaji hatari sana akiwa amehusika kwenye magoli 22 kwenye mechi 24 za Ligi Kuu ya Mali.
