Kocha wa Bafana Bafana ajiuzuru
Kocha Hugo Broos amejiuzulu nafasi ya kocha mkuu wa timu ya taifa ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) baada ya kuhudumu kwa miaka mitano!.
Hugo amejiuzulu baada ya kumalizika kwa michuano ya FIFA World Cup 2026 na Afrika Kusini wapo wanatafuta mbadala wake mapema sana.
