Ibraheem Jabaar amalizana na mnyama
Klabu ya Simba imeendelea kutambulisha wachezaji wapya na safari hii imemleta Ibraheem Jabaar raia wa Nigeria aliyekuwa anacheza Stellenbosch FC
Ujio wa Jabaar ni kuondoa tetesi zilizokuwa midomoni mwa watu kwamba Simba inaleta watu wa maana msimu ujao.
