Chilambo kumrithi Kapombe Simba

KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kulia, Nathaniel Raphael Chilambo (22) kuwa mchezaji wake mpya kuelekea msimu ujao akijiunga na Wekundu hao wa Msimbazi kutoka Azam FC.
Anakuwa mchezaji mpya wa pili baada ya kiungo wa ulinzi, Kelvin Nashon Naftali (25) aliyetambulishwa jana kutoka Pamba Jiji FC ya Mwanza.

Nathan Chilambo
Nashon Kelvin
Simba Sports Club


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons