Arajiga aweka historia Kagame Cup
Ahmed Arajigga anakua mwamuzi wa kwanza kutoka Tanzania kuchezesha michezo miwili mfululizo ya kombe la CECAFA.
Muda huu anasimamia mchezo wa hatua ya makundi kati ya Tusker dhidi ya Rayon Sports.
Mashindano hayo yanafanyika ndani ya Rwanda.
