Alphonce Mabula ni Yanga
Yanga wako kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo Raia wa Tanzania,Alphonce Mabula Msanga.
Kambi ya Mabula imekubaliana na ofa ya mwisho ambayo imetumwa na Yanga na sasa wanajadili namna ya ulipaji wa pesa hiyo.
Mkataba wa miaka mitatu utasainiwa pale ambapo kila kitu kitakamilika.
Mabula ana ofa tatu za Ulaya ila sasa ni kama anaelekea Yanga
